Jinsi ya kusoma SMS na kupata picha za WhatsApp alizotumiwa mpenzi wako.
Kuna njia nyingi ya kusoma na kupata picha pamoja na media nyingine atakazo tumiwa moenzi wako hata kama alitumiwa zamani akafuta unaweza kuzipata kwa njia hizi.
Lakini kwa kuanza naomba tutumie njia hii ambayo ni rahisi kwa MTU yeyote lakini endapo utahitaji njia zingine basi unaweza kututafuta kwa kudownload application ya bongohodtz play store na hapo utazikuta na endapo utashindwa kuna Namba ya WhatsApp hapo kwenye application tutext na haraka utasaidiwa
Hizi ndizo hatua za kufuata ili kufanikisha hill
1:nenda play store kisha download app inaitwa WhatsApp web ambayo inaicon au picha ya juu inayotaka kufanana na hiyo ya WhatsApp kwenye simu yako wewe unayetaka kufuatilia SMS za mpenzi,rafiki,Jamaa,ndugu au mtu yeyote.
2:ifungue hiyo WhatsApp web na itakapofunguka itaweta sehemu nyeusi ambayo itakuwa imeandikwa ipq code au vyovyote na hapo iache hivyo hivyo.
3:kisha nenda kwenye simu ya huyo unayetaka kusoma SMS ambazo alitumiwa,anatumiwa au anatumiwa na kisha fungus data kwenye simu yake kisha fungua file au app ya WhatsApp kwenye simu take
4:kisha bonyeza option yake au sehemu ya setting kwa lugha nyepesi nenda juu upande wa kulia angalia kuna vikoma vitatu bonyeza hapo itafungua vitu 5 ambavyo ni new group,newbroadcasting,whatsap web,stared SMS na setting.basi wew bonyeza hapo ilipoandikwa WhatsApp web
5:kisha weka simu yako chini ikiwa imewaka huku lile faili ulilodownload likiwa ndo limefunguliwa na baada ya hapo chukua hiyo simu ya pili yaani ya huyo unayetaka kumpeleleza iweke juu ya simu yako huku umebonyeza huyo sehemu ya WhatsApp web ambayo itafungua kitu kama kamera yenye ugiza weusi na hakikisa Kamera hiyo inaiona hiyo simu yako wewe ambapo itaanza kuiscani hadi itakapo pata hizo code hakikisha simu yako iliyo chini inawaka pia ya juu inaiona kwenye lensi ya Kamera ili ipate hizo kodi subiria hadi itakapo andika success na kupiga tiki kisha itakuwa hapo tayari.
Bac kuanzia hapo sms, picha,nyimbo,video au chochote atakachotumiwa WhatsApp utakiona ww na yeye hatajua kama kuna MTU anasomaga text zake hata akiwa umbali kiasi gani wewe itakuwa unaingia kwenye hilo file la WhatsApp web ulilodownload na kupata SMS zake ziko hapo.
Asante kesho tunajifunza namna ya kusoma SMS za inbox hata kama hana smart kuwa wakwanza usichelewe weka email yako na itakuwa anatumiwa au download app yetu play store ya bongohodtz kwa utundu zaidi.
Asante kwa kuwa nasi usikose kesho muda na wakati kama huu:
By yasinisaidi67
No comments:
Post a Comment