Sunday, June 25, 2017
NJISI YA KUTUMIA ACCOUNT MBILI ZA WHATSUPWHATSUP KWENYE SIMU MOJ @yasinisaid
Hii kutokana nakuulizwa swali hili na watu wengi katika email Watu wengi sana wamekuwa wakitafuta njia ya kuweza kutumia whatsapp mbili tofauti kwenye simu moja. Leo nitatoa maelekezo mafupi ambayo yatakuwezesha kutumia whatsapp mbili kwenye simu yako.Fata hatua zifuatazo…
Hatua ya kwanza
Download App inayoitwa parallel space kwenye play store
Hatua ya pili
Kama simu yako ni line moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whatsapp yako ya pili
Hatua ya tatu.
Install application uliyo download kwenye Step 1(parallel space )., kisha ifungue.
Hatua ya nne
Utakapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka number ya simu hapo utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na whatsapp mbili
Hatua ya tano .
Utaendelea na Steps za kawaida kama ulivyojiunga na whatsapp ya kwanza.
Mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na kuanza kutumia whatsapp mbili kwenye simu moja.
Monday, June 19, 2017
physcis assgnment
< a href='https://drive.google.com/file/d/0BweCKxzwVl89d2xhTlpDTFhkZTA/view?usp=drivesdk'> click here to download
Thursday, June 15, 2017
You are here : Home / LIFE LESSONS / 10 Small Things You Can Do Every Day to Get Smarter 10 Small Things You Can Do Every Day to Get Smarter
You might be under the impression that intelligence is a fixed quantity set when you are young and unchanging thereafter. But research shows that you’re wrong. How we approach situations and the things we do to feed our brains can significantly improve our mental horsepower.
That could mean going back to school or filling your bookshelves (or e-reader) with thick tomes on deep subjects, but getting smarter doesn’t necessarily mean a huge commitment of time and energy, according to a recent thread on question-and-answer site Quora.
When a questioner keen on self-improvement asked the community, “What would you do to be a little smarter every single day?” lots of readers–including dedicated meditators, techies, and entrepreneurs–weighed in with useful suggestions. Which of these 10 ideas can you fit into your daily routine?
1. Be smarter about your online time.
Every online break doesn’t have to be about checking social networks and fulfilling your daily ration of cute animal pics. The Web is also full of great learning resources, such as online courses, intriguing TED talks, and vocabulary-building tools. Replace a few minutes of skateboarding dogs with something more mentally nourishing, suggest several responders.
2. Write down what you learn.
It doesn’t have to be pretty or long, but taking a few minutes each day to reflect in writingabout what you learned is sure to boost your brainpower. “Write 400 words a day on things that you learned,” suggests yoga teacher Claudia Azula Altucher. Mike Xie, a research associate at Bayside Biosciences, agrees: “Write about what you’ve learned.”
3. Make a ‘did’ list.
A big part of intelligence is confidence and happiness, so boost both by pausing to list not the things you have yet to do, but rather all the things you’ve already accomplished. The idea of a “done list” is recommended by famed VC Marc Andreessen as well as Azula Altucher. “Make an I DID list to show all the things you, in fact, accomplished,” she suggests.
4. Get out the Scrabble board.
Board games and puzzles aren’t just fun but also a great way to work out your brain. “Play games (Scrabble, bridge, chess, Go, Battleship, Connect 4, doesn’t matter),” suggests Xie (for a ninja-level brain boost, exercise your working memory by trying to play without looking at the board). “Play Scrabble with no help from hints or books,” concurs Azula Altucher.
5. Have smart friends.
It can be rough on your self-esteem, but hanging out with folks who are more clever than you is one of the fastest ways to learn. “Keep a smart company. Remember your IQ is the average of five closest people you hang out with,” Saurabh Shah, an account manager at Symphony Teleca, writes.
“Surround yourself with smarter people,” agrees developer Manas J. Saloi. “I try to spend as much time as I can with my tech leads. I have never had a problem accepting that I am an average coder at best and there are many things I am yet to learn…Always be humble and be willing to learn.”
6. Read a lot.
OK, this is not a shocker, but it was the most common response: Reading definitely seems essential. Opinions vary on what’s the best brain-boosting reading material, with suggestions ranging from developing a daily newspaper habit to picking up a variety of fiction and nonfiction, but everyone seems to agree that quantity is important. Read a lot.
7. Explain it to others.
“If you can’t explain it simply, you don’t understand it well enough,” Albert Einstein said. The Quora posters agree. Make sure you’ve really learned what you think you have learned and that the information is truly stuck in your memory by trying to teach it to others. “Make sure you can explain it to someone else,” Xie says simply.
Student Jon Packles elaborates on this idea: “For everything you learn–big or small–stick with it for at least as long as it takes you to be able to explain it to a friend. It’s fairly easy to learn new information. Being able to retain that information and teach oth
A Brief Introduction to Cryptography
Nowadays the Internet is an important part of Life. We are using the Internet for sending confidential data also like password, for storing army secrets. But the Internet is insecure medium. Do you know why?
Insecure Medium:
Imagine you are sending a data. In the internet world, data are separated as packets and send to the destination. Do you think the data directly reaching the destination? If you think so, ) .you are wrong. The packets are going through different routers. Finally, the data is sent to the user. In this gap, Intruders(i mean attackers) takes advantages. Intruders can see what you are sending. Because your data are simple and easy to readable by anyone.
How to secure the data?
We can not stop the intruders and their activities. But we can make our data as Unreadable for Intruders. For this purpose, the Cryptography is introduced.
Introduction to Cryptography:
Julius Ceaser who introduce the Cryptography technology. Cryptography is technology in which we are changing the plain text to unreadable text(known as cypher t).
In your home you put money in the locker, Isn’t it? The locker probably has the key to open. Imagine thief is coming to your home to steal. if he wants to open the locker, certainly he needs the key. Without the key, he can not do. Yeah, I can hear what you are saying, he can break the locker. If the locker is very strong, he can not open it at all.
Likewise in cryptography also we are going to create a Key for our data. So that Intruders can not read the data. It is possible to read the data if the encryption(will explain later) is weak. So we need to encryption method very strong.
Terminologies used In cryptography:
Plain Text:
original data or text is known as Plain text.
Cipher Text:
The encrypted message(unreadable message).
Encryption:
Changing the Plain text to unreadable.
Decryption:
Changing the cypher text to plain text.
Traditional Encryption Methods:
Ceaser Cipher
Mono Alphabetic Cipher
Play Fair Cipher
Hill cipher
PolyAlphabetic Cipher
Rail Fence Technique.
Ceaser Cipher:
Simplest encryption method. In this method, we are going to replace the alphabets with shifted alphabets.
Eg:
Consider Plain text is: break
if we use Key is 3, then the cipher text will be found by:
b+3 r+3 e+3 a+3 k+3
Shifted to three alphabets final ciphertext is:
If the intruders see the cypher text(here “Kuhn”) , hackable .he can not understand anything. But this method hackable. Because intruders can try 25 shifts and finally he can get the result.
Many encryption methods are introduced to make better security.
Today Encryption methods:
AES(Advanced Encryption Standard)
DES(Data Encryption Standard)
RSA(Name of the creators).
MD5(Message Digest -5)
SHA(Secure Hash Algorithm
For the secure transaction, SSL (Secure Socket Layer ) is introduced.
Tuesday, June 13, 2017
Yaliyojiri Toka Ikulu Wakati Rais Magufuli Akipokea Ripoti ya Pili ya Madini ya Mchanga
kamati ilipewa ni kujua idadi ya makotena yaliyosafirishwa nje ya nchi tangu 1998.
3.Kamati pia ilitakiwa kuchunguza kama Tanzania inauwezo wa kutengeneza 'smelter' nchini, gharama zake na muda utakaotumika.
4.Kamati ilitakiwa kuchunguza tofauti ya mapato ambayo Tanzania ilipata na ambayo ilitakiwa kuyapata tangu mwaka 1998.
5.ACACIA inayojinasibu kama mmiliki wa migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi haijawahi kuwasilisha nyaraka za umiliki huo.
6. Kamati imebani kwa mujibu wa nyaraka kuwa kampuni ya ACACIA PLC haikusajiliwa nchini
7.Kamati imebaini kuwa wamiliki wa makampuni ya madini nchini wametenda makosa mbalimbali ya jinai.
8.Kamati imeridhia baadhi ya watumishi wa serikali, makampuni ya usafirishaji na TMAA wameliingiza Taifa hasara kwa makusud.
9.Makampuni ya Pangea na Bulyahulu yamepatikana na hatia ya kuliingizia Taifa hasara kwa kutokutoa taarifa sahihi juu ya uzito wa makinikia:.
9.Idadi na uzito wa makontena ya mchanga ulionekana kuwa mkubwa kwenye meli tofauti na kwenye nyaraka za bandarini.
10.Baadhi ya makampuni ya wakala wa meli ziliwasilisha nyaraka za uongo za usafirishaji wa madini kati ya 1998 na 2017.
11.Makontena 30 ya futi 20 yenye makinikia yalionekana kwenye nyaraka yamesafirishwa, lakini ukweli yalisafirishwa 33.
12.Kupitia hati ya usafirishaji wa makontena melini, idadi kubwa ya makontena yalikuwa yakisafirishwa bila kuorodheshwa.
13.Migodi ya Bulyanhulu na Pangea imekuwa ikipata faida lakini faida halisi haikuwa ikionyeshwa.
14.Kamati imebaini makontena 44,277 kwa kiwango cha chini yalisafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 na 2017.
15.Viwango vya dhahabu kwa kila kontena ni 28kg, kwa miaka yote ni tani 1,240 kwa kiwango cha chini, thamani yake Tsh 108tril
16.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 132.56 kwa kiwango cha chini.
17.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 229.9 kwa kiwango cha juu.
18.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 kwa Kiwango cha wastani ni trilioni 188.58
19.Kodi ya Mapato ambayo Tanzania imepoteza tangu 1998 hadi Machi 2017 ni trilioni 55 katika usafirishaji wa makinikia.
20.Kodi ya Zuio ambayo Tanzania imepoteza tangu 1998 hadi Machi 2017 ni bilioni 94 katika usafirishaji wa makinikia.
21.Mh Rais jumla ya Kodi tulizopoteza ni Sawa na makadirio ya bajeti ya serikali kwa kiwango cha Mwaka 2017/18 kwa miaka 2.
22.Taarifa ambazo zimekuwa sikiwasilishwa TMAA kuhusu uchenjuaji wa makinikia hazina ukweli wowote.
23.Mh Rais kamati imepata mikataba ya mauzo ya uuzwaji Wa makinikia nje ya nchi kuwa serikali haihusiki kabisa.
24.Mikataba hiyo Mh Rais haina Masharti kuwa Serikali inapaswa kupewa taarifa ya uuzwaji wa Makinikia kutoka ktk migodi.
25.Mh Rais katika uchunguzi wetu Serikali ina hisa asilimia 15 ikauza 5 na kila mwaka kamishna au Waziri wa Fedha hupokea dola laki 1.
26.Pangea Gold mine ina mikataba miwili ilisainiwa na Mh Daniel Yona baadaye Mh Nazir Karamagi serikali haina hisa Yoyote.
27.Mh Rais Mkataba wa North Mara ulisainiwa na Waziri Daniel Yona Mwaka 1999 baadaye Nazir Karamagi Mwaka 2017
28.Mh Rais katika Mkataba wa Geita Gold Mine ulisainiwa na Mh Abdallah Kigoda na serikali haina Hisa hata moja.
29.Kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezaji wa muda wa leseni na maeneo uchimbaji kinyume na sheria.
30.Mh Rais kamati imebaini kuwa Mh William Ngeleja na Sospeter Muhongo walitoa mikataba mipya bila kufuata sheria za nchi
31.Mh Rais Mkataba wa North Mara ulisainiwa na Waziri Daniel Yona Mwaka 1999 baadaye Nazir Karamagi Mwaka 2007
32.Mh Rais mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na makamishina wa madini Mh Andrew Chenge na Dalali kafumu walihusika ktk mikataba ya madini.
33.Makampuni ya uchimbaji yakilipwa fedha haziwekwi kwenye mabenki ya ndani badala yake huwekwa kwenye mabenki ya nje.
34.Uwekaji wa fedha kwenye mabenki ya nje badala ya mabenki ya ndani, umechochea utoroshaji mkubwa w
Maoni ya Tundu Lissu baada ya Rais Magufuli kupokea ripoti ya pili ya kamati maalum ya uchunguzi wa madini
For the Record: What Goes Around Comes Around!!!
Leo wapinzani wa Serikali ya Magufuli tumesemwa sana na kutishiwa kushughulikiwa bungeni na nje ya Bunge.
Kwa sababu hiyo, naomba niweke rekodi ya masuala haya sawa sawa.
Mwezi Machi '97 Bunge lilipitisha Sheria 2 kwa siku moja kwa kutumia Hati ya Dharura.
1) Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbali mbali za Fedha ya '97 ilifuta au kupunguza kodi nyingi kwa ajili ya makampuni ya kigeni ya madini.
2) Sheria ya Uwekezaji Tanzania '97 iliwapa wawekezaji wa kigeni ulinzi mkubwa na manufaa mengi kama vile kuondosha nje fedha na faida yote wanayopata kwa uwekezaji wao nchini.
Mwaka '98 Bunge lilipitisha Sheria ya Madini '98 ambayo ilitamka kwamba mwenye milki ya madini na fedha yote itokanayo na mauzo ya madini ni mwenye leseni ya kuchimba madini hayo.
Sheria hizo tatu nimeziita 'Utatu Usio Mtakatifu' (Unholy Trinity) katika maandiko yangu mbali mbali, na nimezichambua sana tangu mwaka '99 nilipoanza harakati dhidi ya sekta ya madini ya aina hii.
Kwa miaka yote hii hadi leo, Sheria hizi za madini zimeungwa mkono na kupigiwa debe na kila kiongozi na mbunge wa CCM, Magufuli included.
Watu hawa, with very few and minor exceptions, ndio wamekuwa washangiliaji wakubwa wa unyonyaji wa makampuni ya kigeni ya madini katika nchi yetu.
Na ukweli ni kwamba watu hawa na Chama chao ndio wamefaidika sana na utaratibu huu katika sekta ya madini.
Wachache tuliopinga utaratibu huu tuliitwa kila aina ya majina mabaya na uzalendo wetu ulihojiwa kama unavyohojiwa leo na Magufuli.
Kwa mfano, Rais Mkapa alidai, wakati anazindua Mgodi wa Bulyanhulu, kwamba upinzani wetu ulikuwa ni 'ujinga uliofichama katika kivuli cha taaluma.'
Baadhi yetu, kama mimi na Dr. Rugemeleza Nshala, tulikamatwa na kushitakiwa mahakamani kwa uchochezi. Tulikabiliwa na kesi hiyo kuanzia Mei '01 hadi '08 ilipofutwa kwa kukosekana ushahidi.
Kama ilivyokuwa wakati wa Mkapa mwaka '01, leo pia Rais Magufuli ametukebehi na kuahidi kutushughulikia 'tukiropoka' nje ya Bunge.
Tunaambiwa ni lazima tumuunge mkono Rais wetu katika hii 'vita ya uchumi.' Ni sheria ipi ya Tanzania inayotulazimu kumuunga mkono Rais wetu hata kama tunaona amekosea???
Hebu naomba tuitafakari hii 'vita ya uchumi' kidogo. Je, nani hasa ni maadui zetu katika 'vita' hii??? Ni makampuni ya madini ya kigeni??? Kama ni hivyo, fikiria yafuatayo:
1) Wakati tuko vitani, Rais Magufuli na serikali yake wameiruhusu Acacia Mining (tunayoambiwa hata haijasajiliwa!!!) kuendelea kuchimba, kusafisha na kusafirisha nje ya nchi dhahabu kutoka Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara Tarime.
Amezuia magwangala yasisafirishwe nje kwenye makontena lakini dhahabu yenyewe hamna shida ikisafirishwa na wezi hawa!!!!!
2) Wakati mapambano ya 'vita ya uchumi' yakiendelea, dhahabu yote inayochimbwa Geita Gold Mine (Mgodi mkubwa kuliko yote nchini) inaendelea kuchimbwa, kusafishwa na kusafirishwa nje ya nchi.
3) Wakati tuko vitani, Rais Magufuli na serikali yake ameruhusu kila mgodi wa dhahabu nchini kuwa na kiwanja chake binafsi cha ndege ili wezi hawa waweze kutorosha 'dhahabu yetu' kwa urahisi zaidi.
4) Wakati tungali vitani, 'Utatu Usio Mtakatifu' wa sheria zetu za kodi, uwekezaji na madini uko pale pale ulipokuwa mwaka '97-'98, cosmetic changes excepted.
Aidha, licha ya kuwa vitani, sisi bado ni signatories wa MIGA Convention na bilateral investment treaties (BITs) zinazowalinda hawa tunaoaminishwa kuwa ni wezi na maswahiba wao wa miaka yote.
5) Wakati tuko kwenye hii vita kubwa ya uchumi, jemedari wetu mkuu na serikali yake hawajatengua mkataba hata mmoja wa uendelezaji madini (Mineral Development Agreements - MDAs) walizosaini hawa anaowaita wanyonyaji na serikali za watangulizi wake Jakaya Kikwete na Ben Mkapa.
6) Wakati tunahamasishwa kumuunga mkono jemedari huyu shupavu, bado hatujaonyeshwa mkataba hata mmoja waliosaini na wanyonyaji hawa tangu miaka ya mwanzo ya '90.
Leo Jemedari Mkuu ameahidi kwamba mikataba hiyo italetwa bungeni. Safi sana.
Lakini je, hii ni mara ya kwa
HARMONIZE ATAJA LABEL ATAKAZO JIUNGA NAZO
Harmonize ataja label anazozifikiria kama ataondoka WCB
Mwimbaji staa wa Bongofleva Harmonize kupitia 255 ya XXL ya Clouds FM amefunguka na kudai kuwa mipango yake ni kufanya kazi label kubwa kama Young Money au Roc Nation endapo ataondoka WCB.
Harmonize amesema WCB ni moja ya label zinazofanya vizuri Afrika hivyo hawezi kutoka kwenye label hiyo na kwenda kwenye label nyingine ndani ya Afrika badala yake atakwenda kimataifa zaidi ingawa kwa sasa ana malengo ya kuifanya WCB iwe kubwa.
“Lengo langu ni kuifanya WCB iwe kubwa, ifike mbali panapo majaaliwa ya Mwenyezi Mungu na support ya watanzania lakini ikitokea kufanya kazi na Label nyingine na wish label yoyote tunayoweza kufanya kazi vizuri kama Roc Nation au Young Money. Siwezi kutoka WCB nikaenda label nyingine. Ukizungumzia WCB ni label kubwa Afrika. kwa hiyo, nikitoka Afrika may be Roc Nation au Young Money.” – Harmonize
Awesome WhatsApp Tricks You Should Know About
WhatsApp has now become one of the important parts of our daily life. This very popular instant messaging app for smart phones is used by millions of people in all over the globe. This app lets you share images, video, user location and audio media messages from one smart phone to another instantly over internet which is essentially the main reason behind the popularity of WhatsApp, so people fell very easy to use this app to send messages, images, videos etc to friends or to any other easily. And now, WhatsApp becomes the most popular instant messaging app with having over 800 million active users in the year 2015 and every day more numbers of users are increasing. So, with the increasing popularity, we must know Awesome WhatsApp Tricks that can make this app more fun and useful to use. Here are top 4 and Best tricks that every Whatsapp user must know.
1) Hide Your WhatsApp Status, Last Seen & Profile Picture
Privacy is the most important concern for all of us, but with Whatsapp, there are no worries. By default, WhatsApp is letting everyone know the last time you used the app. But you can disable your last seen timestamp, profile photo and status message. Simply by going Settings > Account > Privacy on both iPhone and Android. Read Receipts, notified by those Blue Ticks can be disabled too, but Just like last seen that also means you won’t be able to see read receipts from other people.
2) Spy on your friends’ chats
There is always curious to know about other people’s chat and so saying others are always been fun. But at the same time, it turns very embarrassing when you get caught while checking someone’s WhatsApp messages. Whether it’s your curiosity for fun or distrust here’s one way to do it:
a) Get their phone for once and go to SD card (File Manager).
b) Get on WhatsApp and select database folder.
c) Select all files and copy it to your device using any sharing app you have or simply by Bluetooth.
Privacy is the most important concern for all of us, but with Whatsapp, there are no worries. By default, WhatsApp is letting everyone know the last time you used the app. But you can disable your last seen timestamp, profile photo and status message. Simply by going Settings > Account > Privacy on both iPhone and Android. Read Receipts, notified by those Blue Ticks can be disabled too, but Just like last seen that also means you won’t be able to see read receipts from other people.
2) Spy on your friends’ chats
There is always curious to know about other people’s chat and so saying others are always been fun. But at the same time, it turns very embarrassing when you get caught while checking someone’s WhatsApp messages. Whether it’s your curiosity for fun or distrust here’s one way to do it:
a) Get their phone for once and go to SD card (File Manager).
b) Get on WhatsApp and select database folder.
c) Select all files and copy it to your device using any sharing app you have or simply by Bluetooth.
h) After reading all the messages simply delete all the files present in the database folder. After that, you can restore your chats using google drive.
3) Change Your Friend’s Profile Picture on your Phone
Navigate to the following folder: /device/sdcard/WhatsApp/Profile Pictures. Here you will see the profile pictures that the app has saved. If you don’t see your friend’s picture in here, go back to WhatsApp and open it. Once you find his picture, Note down the name of the picture and then delete the picture. Now, find the picture you want to add to his profile. Make sure the picture is in JPG format. Change its name to the original one. Now copy-paste this picture in WhatsApp – Profile Pictures folder.
4) Recover Deleted WhatsApp Messages
If you’ve accidentally deleted your WhatsApp chats, you can easily recover them because WhatsApp backups your chats every day at 2 AM. Uninstall and then re-install WhatsApp. Sign up with the same number you used WhatsApp with previously. You will be prompted that a backup
Monday, June 12, 2017
Wednesday, June 7, 2017
Tuesday, June 6, 2017
10 Best Apps To Transfer Files Between Smartphone And PC Using WiFi
Transfer Files: Without apps a smartphone is incomplete. We always try to search latest apps which will help to improve our daily life. Some essential apps make our life easier. Earlier we used a long process to transfer files from phone to PC. The way was using a USB cable which was a long process. The most popular way was drag and drop.
Those methods were some old methods. Now, I have come up with the latest technique to transfer files from your Android device to PC. You can easily transfer files like movies, songs, MS files, etc. Utilizing the Wi-Fi connectivity can help you transfer files. You should replace the slow USB cable method, with the faster Wi-Fi method. You can Transfer files without USB from your Android device to PC. I have listed the Top 10 File Transfering Apps which will help you to transfer files via WiFi from Android to PC and vice versa.
1. My FTP Serve
My FTP Server is a free app to transfer files from Android device. It is based on UTF-8. It is a widely used file transfer server. It also supports 3G networking phones. You might have a problem with connecting some restricted Wi-Fi networks, and while transferring some huge files. Overall, it is a very helpful app which gives free assistance while having any problem.
2. AirDroid
The AirDroid is a free Android file transfer app. This app allows you carry Android files to your PC. You can manage the Android smartphone from your computer within a web browser. If you want to work with the application you just have to open the app on your smartphone and follow the direction. You will get an IP address that you will enter in the address bar of the other device’s web browser also you will get a password to log-in. As soon as, you log in the app, you can see all folders and files on your phone.
3. Portal
The Portal is an app of Pushbullet chrome. It helps you to transfer huge quantity of files. If your Android device and PC are on the same network, then Portal will help you to share the files with an ease. This app is easy to use. You just have to open the app and put the link portal.pushbullet.com in your computer. You can enjoy using the app.
4. FileDrop
The FileDrop is a free and friendly app. It helps to link your phone to PC. You can also share files using Wi-Fi. You can transfer files and photos. You just have to open the Filedrop app on both PC and Android then you can start exchanging the files by dragging and dropping method. FileDrop app is accessible for Windows and Mac.
5. SendAnywhere
SendAnywhere is top rated file sharing app. You can transfer all types of files from Android to PC. You can share large files also. The app is available for free. It doesn’t need cloud support for sharing files. You will get a one-time 6-digit password which will help you to transfer files in an easier way. You don’t have to depend on the internet connection for accessing this service. Click on search and you will easily get the Wi-Fi network. Before transferring, it will confirm you whether you want to share the file.
6. SuperBeam
SuperBeam is a latest free file transfer app. It links the Wi-Fi connection directly between the PC and phone. The direct Wi-Fi wireless connection helps you to carry the files smoothly. Using this app, you can share files & folders, music, photos, videos, apps, and documents. You can also share contacts if you have installed the SuperBeam contacts plugin. SuperBeam also includes QR scan so that the information you are sending reaches safely.
7. SHAREit
SHAREit app supports any device but works best on Samsung devices. If you are a Samsung user, then you must try this app. This app has a good compatibility with Samsung devices. You can select your files and leave your phone in charging so that you can do both the task at a time. It does not need any internet, no USB. You can share all kind of files. You can download the latest version from www.ushareit.com.
8. Wi-fe file xplorer
Wi-Fi File Explorer is a file explorer for your phone in your web browser. It is a straight forward app, not exactly but somewhat like the AirDroid app. When you open the Wi-Fi file explorer, it will give you a unique IP address. After that, you can direct to the current PC web browser. You have to select the files you want to download and upload, and that’s it.
9. Xender
Xender is the fastest app which works in seconds. So, if you don’t want to waste your time, then use this app for file sharing. It transfers large files like movies at a speed of more than 4MB per second. This app is at the ninth point because some antiviruses software might recognize it as malware. It has a danger of personal data leaking. Overall, it works completely perfect.
10. Fast File Transfer
Like Xender, the Fast File Transfer also allows transferring files at a great speed. It transfers file in just a click. It can transfer 1GB data within 4 minutes. It utilizes Wi-Fi Direct, that is the best alternative to transfer large size files. Transfer files within Samsung device work very fast. You can transfer media, photos, videos and music with ease.
So, these were the best Top 10 File transfer apps. There are many file transfer app, but these are the best app that you can try for your daily use. You can find many apps in different sites, but it might be outdated. I have listed the latest updated apps in this article. You can download free software apps from Google Play store. You can share this article with your friends and relatives so, that they also use these apps.
JINSI YA KUSOMA NA KUONA SMS NA PICHA NA CHATI ZA MPENZI WAKO ZA WHATSAPP KWA KUTUMIA SIMU YAKO BILA GHARAMA YEYOTE NA RAHISI SANA SOMA HAPA
Jinsi ya kusoma SMS na kupata picha za WhatsApp alizotumiwa mpenzi wako.
Kuna njia nyingi ya kusoma na kupata picha pamoja na media nyingine atakazo tumiwa moenzi wako hata kama alitumiwa zamani akafuta unaweza kuzipata kwa njia hizi.
Lakini kwa kuanza naomba tutumie njia hii ambayo ni rahisi kwa MTU yeyote lakini endapo utahitaji njia zingine basi unaweza kututafuta kwa kudownload application ya bongohodtz play store na hapo utazikuta na endapo utashindwa kuna Namba ya WhatsApp hapo kwenye application tutext na haraka utasaidiwa
Hizi ndizo hatua za kufuata ili kufanikisha hill
1:nenda play store kisha download app inaitwa WhatsApp web ambayo inaicon au picha ya juu inayotaka kufanana na hiyo ya WhatsApp kwenye simu yako wewe unayetaka kufuatilia SMS za mpenzi,rafiki,Jamaa,ndugu au mtu yeyote.
2:ifungue hiyo WhatsApp web na itakapofunguka itaweta sehemu nyeusi ambayo itakuwa imeandikwa ipq code au vyovyote na hapo iache hivyo hivyo.
3:kisha nenda kwenye simu ya huyo unayetaka kusoma SMS ambazo alitumiwa,anatumiwa au anatumiwa na kisha fungus data kwenye simu yake kisha fungua file au app ya WhatsApp kwenye simu take
4:kisha bonyeza option yake au sehemu ya setting kwa lugha nyepesi nenda juu upande wa kulia angalia kuna vikoma vitatu bonyeza hapo itafungua vitu 5 ambavyo ni new group,newbroadcasting,whatsap web,stared SMS na setting.basi wew bonyeza hapo ilipoandikwa WhatsApp web
5:kisha weka simu yako chini ikiwa imewaka huku lile faili ulilodownload likiwa ndo limefunguliwa na baada ya hapo chukua hiyo simu ya pili yaani ya huyo unayetaka kumpeleleza iweke juu ya simu yako huku umebonyeza huyo sehemu ya WhatsApp web ambayo itafungua kitu kama kamera yenye ugiza weusi na hakikisa Kamera hiyo inaiona hiyo simu yako wewe ambapo itaanza kuiscani hadi itakapo pata hizo code hakikisha simu yako iliyo chini inawaka pia ya juu inaiona kwenye lensi ya Kamera ili ipate hizo kodi subiria hadi itakapo andika success na kupiga tiki kisha itakuwa hapo tayari.
Bac kuanzia hapo sms, picha,nyimbo,video au chochote atakachotumiwa WhatsApp utakiona ww na yeye hatajua kama kuna MTU anasomaga text zake hata akiwa umbali kiasi gani wewe itakuwa unaingia kwenye hilo file la WhatsApp web ulilodownload na kupata SMS zake ziko hapo.
Asante kesho tunajifunza namna ya kusoma SMS za inbox hata kama hana smart kuwa wakwanza usichelewe weka email yako na itakuwa anatumiwa au download app yetu play store ya bongohodtz kwa utundu zaidi.
Asante kwa kuwa nasi usikose kesho muda na wakati kama huu:
By yasinisaidi67
VIDEO: Mikwaju ya penati iliyoiondoa Simba SportPesa Super Cup
Baada ya jana June 5 2017 kuchezwa michezo ya ufunguzi wa michuano ya SportPesa Super Cup 2017 na kushuhudia AFC Leopards ya Kenya na Yanga ya Tanzania zikifuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup.
AYOTV VIDEO: Mikwaju ya penati iliyoiondoa Simba SportPesa Super Cup
By Rama Mwelondo TZA
onJune 7, 2017 COMMENTS
June 6 2017 michezo ya robo fainali miwili ilichezwa katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, Simba wamejikuta wakiaga michuano ya SportPesa Super Cup baada ya kufungwa na Nakuru All Stars kwa mikwaju ya penati 5-4, hiyo ni baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare tasa na golikipa wa Simba Daniel Agyei ndio alikosa penati katika mchezo huo, hivyo Gor Mahia atacheza na Nakuru nusu fainali ya pili.
VIDEO: Alichoamua Rais wa Simba baada ya kupokwa point 3 na TFF vs Kagera
AYOTV VIDEO: Mikwaju ya penati iliyoiondoa Simba SportPesa Super Cup
By Rama Mwelondo TZA
onJune 7, 2017 COMMENTS
June 6 2017 michezo ya robo fainali miwili ilichezwa katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, Simba wamejikuta wakiaga michuano ya SportPesa Super Cup baada ya kufungwa na Nakuru All Stars kwa mikwaju ya penati 5-4, hiyo ni baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare tasa na golikipa wa Simba Daniel Agyei ndio alikosa penati katika mchezo huo, hivyo Gor Mahia atacheza na Nakuru nusu fainali ya pili.
VIDEO: Alichoamua Rais wa Simba baada ya kupokwa point 3 na TFF vs Kagera
WAJUE HAWA HAPA WATU KUMI WENYE AKILI SANA DUNIANI,,
1:Ni mwanahisabati kutoka Marekani ambaye anakadiriwa kuwa na IQ level ya 230. Terence Tao aliweza kufanya hisabati akiwa na miaka 2 na alipokuwa na miaka 7 aliweza kufanya hesabu ngumu za level ya Chuo Kikuu akiwa na miaka 20 alipata PhD. Mwaka 2006 alishinda medali ya Field na mwaka 2014 alipata tuzo ya Breakthrough prize in mathematics.
2: Christopher Hirata
Ni Mnajimu aliyebobea katika mambo ya anga ambapo kwa sasa anafanya kazi katika Shirika la Mambo ya Anga la Marekani ‘NASA’. Anatajwa kuwa na IQ level ya 225 ambapo akiwa na miaka 13 alipata tuzo ya Mwanahisabati Bora wa Dunia na kuweza kupata PhD akiwa na umri wa miaka 22.
3: Kim-Um -Young
Anachukua namba 3 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level 210 ambapo mwaka 1990 Kim Ung–yong alishika rekodi ya Dunia ya Guiness kwa kuwa na IQ kubwa. Alipokuwa na na miezi 6 tu Kim Ung-Yong alikuwa anajua kuongea na alipofikisha miaka 3 aliweza kuongea Kijapan, Kikorea, Kiingereza na Kijerumani.
4: Rick Rosner
Watu wengi hawakuamini baada ya Rick Rosner kugundulika kuwa na IQ level ya 192 kwa kuwa kazi alizokuwa anazifanya hazikuendana na akili yake. Kabla ya kuwa mwandishi wa kipindi cha Jimmy Kimmel Rick Rosner alikuwa dansa wa club za usiku, model na waiter.
5: Garry Kasaporov
Garry ana IQ level ya 192 na ameweka rekodi ya Mchezaji Bora wa Chess Duniani kwa sasa anajihusisha na siasa kwa kiasi kikubwa ambapo alitaka kugombea Urais wa Urusi dhidi wa Raisi wa sasa Vladmir Putin.
6: Galileo Galilei
Licha ya kuwa mwanasayansi mkubwa aligundua mambo mbalimbali ya Anga , Hisabati na Fizikia. Galileo ameshika namba 6 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level ya 185. Hadi kufikia mwaka 2017 Mwanasayansi huyu hajatoka kwenye top ten na anajulikana zaidi kwa ugunduzi wake wa umbo la dunia.
7: James Woods
Ni mcheza filamu kutoka Marekani ambaye ameshinda tuzo mbalimbali za Academy na anatajwa kuwa na IQ level ya 180. Akiwa na umri mdogo Jamaes alikuwa anaweza kufanya hesabu ngumu licha ya uwezo wake wa mambo ya Sayansi Garry aliamua kuwa mcheza sinema.
8: Judit Polger
Ni mwanamke pekee kwenye list hii hadi kufikia mwaka 2017. Judith anatajwa kuwa na IQ level ya 170 akiwa na miaka 15 tu aliweza kumshinda mshindi wa dunia kwenye mchezo wa chess.
9: Sir Endrew Willes
Ni mwanahisabati na mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Marekani ambapo anatajwa kuwa na IQ level ya 170. Andrew Wiles aliweza kukokotoa hesabu ngumu zaidi duniani zinazoitwa Fermat’s Last Theorem na mwaka 2016 alishinda tuzo ya Abel Prize.
10: Albert Einstein
Ukitaja jina la Eistein untakuwa unamaansiha “Genious” ambapo mwanafizikia huyu ameweza kujijengea jina kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya Sayansi na mambo ya Anga. Einstein anatajwa kuwa na IQ level ya 160.
2: Christopher Hirata
Ni Mnajimu aliyebobea katika mambo ya anga ambapo kwa sasa anafanya kazi katika Shirika la Mambo ya Anga la Marekani ‘NASA’. Anatajwa kuwa na IQ level ya 225 ambapo akiwa na miaka 13 alipata tuzo ya Mwanahisabati Bora wa Dunia na kuweza kupata PhD akiwa na umri wa miaka 22.
3: Kim-Um -Young
Anachukua namba 3 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level 210 ambapo mwaka 1990 Kim Ung–yong alishika rekodi ya Dunia ya Guiness kwa kuwa na IQ kubwa. Alipokuwa na na miezi 6 tu Kim Ung-Yong alikuwa anajua kuongea na alipofikisha miaka 3 aliweza kuongea Kijapan, Kikorea, Kiingereza na Kijerumani.
4: Rick Rosner
Watu wengi hawakuamini baada ya Rick Rosner kugundulika kuwa na IQ level ya 192 kwa kuwa kazi alizokuwa anazifanya hazikuendana na akili yake. Kabla ya kuwa mwandishi wa kipindi cha Jimmy Kimmel Rick Rosner alikuwa dansa wa club za usiku, model na waiter.
5: Garry Kasaporov
Garry ana IQ level ya 192 na ameweka rekodi ya Mchezaji Bora wa Chess Duniani kwa sasa anajihusisha na siasa kwa kiasi kikubwa ambapo alitaka kugombea Urais wa Urusi dhidi wa Raisi wa sasa Vladmir Putin.
6: Galileo Galilei
Licha ya kuwa mwanasayansi mkubwa aligundua mambo mbalimbali ya Anga , Hisabati na Fizikia. Galileo ameshika namba 6 kati ya watu wenye akili duniani akiwa na IQ level ya 185. Hadi kufikia mwaka 2017 Mwanasayansi huyu hajatoka kwenye top ten na anajulikana zaidi kwa ugunduzi wake wa umbo la dunia.
7: James Woods
Ni mcheza filamu kutoka Marekani ambaye ameshinda tuzo mbalimbali za Academy na anatajwa kuwa na IQ level ya 180. Akiwa na umri mdogo Jamaes alikuwa anaweza kufanya hesabu ngumu licha ya uwezo wake wa mambo ya Sayansi Garry aliamua kuwa mcheza sinema.
8: Judit Polger
Ni mwanamke pekee kwenye list hii hadi kufikia mwaka 2017. Judith anatajwa kuwa na IQ level ya 170 akiwa na miaka 15 tu aliweza kumshinda mshindi wa dunia kwenye mchezo wa chess.
9: Sir Endrew Willes
Ni mwanahisabati na mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Marekani ambapo anatajwa kuwa na IQ level ya 170. Andrew Wiles aliweza kukokotoa hesabu ngumu zaidi duniani zinazoitwa Fermat’s Last Theorem na mwaka 2016 alishinda tuzo ya Abel Prize.
10: Albert Einstein
Ukitaja jina la Eistein untakuwa unamaansiha “Genious” ambapo mwanafizikia huyu ameweza kujijengea jina kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya Sayansi na mambo ya Anga. Einstein anatajwa kuwa na IQ level ya 160.
mburarojab67@gmail.com
database management system (DBMS)
A database management system (DBMS) is system software for creating and managing databases. The DBMS provides users and programmers with a systematic way to create, retrieve, update and manage data.
Download this free guide
SQL Server Import & Export Wizard Step-By-Step Tutorial
In this expert-led tutorial, senior DBA and technical trainer Basit Farooq provides a step-by-step guide for using the SQL Server Import and Export Wizard to transfer data between SQL Server databases and Microsoft Excel worksheets.
Start Download
A DBMS makes it possible for end users to create, read, update and delete data in a database. The DBMS essentially serves as an interface between the database and end users or application programs, ensuring that data is consistently organized and remains easily accessible.
The DBMS manages three important things: the data, the database engine that allows data to be accessed, locked and modified -- and the database schema, which defines the database’s logical structure. These three foundational elements help provide concurrency, security, data integrity and uniform administration procedures. Typical database administration tasks supported by the DBMS include change management, performance monitoring/tuning and backup and recovery. Many database management systems are also responsible for automated rollbacks, restarts and recovery as well as the logging and auditing of activity.
The DBMS is perhaps most useful for providing a centralized view of data that can be accessed by multiple users, from multiple locations, in a controlled manner. A DBMS can limit what data the end user sees, as well as how that end user can view the data, providing many views of a single database schema. End users and software programs are free from having to understand where the data is physically located or on what type of storage media it resides because the DBMS handles all requests.
The DBMS can offer both logical and physical data independence. That means it can protect users and applications from needing to know where data is stored or having to be concerned about changes to the physical structure of data (storage and hardware). As long as programs use the application programming interface (API) for the database that is provided by the DBMS, developers won't have to modify programs just because changes have been made to the database.
With relational DBMSs (RDBMSs), this API is SQL, a standard programming language for defining, protecting and accessing data in a RDBMS.
Popular types of DBMSes
Popular database models and their management systems include:
Relational database management system (RDMS) - adaptable to most use cases, but RDBMS Tier-1 products can be quite expensive.
NoSQL DBMS - well-suited for loosely defined data structures that may evolve over time.
In-memory database management system (IMDBMS) - provides faster response times and better performance.
Columnar database management system (CDBMS) - well-suited for data warehouses that have a large number of similar data items.
Cloud-based data management system - the cloud service provider is responsible for providing and maintaining the DBMS.
Advantages of a DBMS
Using a DBMS to store and manage data comes with advantages, but also overhead. One of the biggest advantages of using a DBMS is that it lets end users and application programmers access and use the same data while managing data integrity. Data is better protected and maintained when it can be shared using a DBMS instead of creating new iterations of the same data stored in new files for every new application. The DBMS provides a central store of data that can be accessed by multiple users in a controlled manner.
Central storage and management of data within the DBMS provides:
Data abstraction and independence
Data security
A locking mechanism for concurrent access
An efficient handler to balance the needs of multiple applications using the same data
The ability to swiftly recover from crash
Magufuli crackdown on critics sends shockwaves
Tanzanian President John Pombe Magufuli started off as a darling of African people when he took office in 2015 with his drastic cuts on public expenditure but his stance on critics is starting to worry his admirers. The latest incident involved a Tanzanian rapper who was arrested for releasing a song deemed insulting to Magufuli and his government. A line in the song, which has gone viral on social media asks “Is there still freedom of expression?” and talks about a doctor who cannot tolerate criticism. Tanzanian Police said the musician would be questioned for releasing a song that maligns the government. This was days after Magufuli warned the media on the extent of its freedom. In June last year, a 40 year old Tanzanian man was sentenced to three years in jail for insulting Magufuli on Facebook. The Arusha Resident Magistrates Court also ordered him to pay a Sh10m fine. The convict fell victim of a widely condemned cybercrime law that was passed in Tanzania.
By yasinisaidi67 @gmail.com tanzania
16-Year-Old Attacked Sony and Microsoft, Now Goes to Jailed
Adam Mudd from the UK has received 2 years in jail for setting up a global computer hacking business. He was 16 when he created the Titanium Stresser software, which carried out over 1.7m attacks on major websites, including Minecraft, Xbox Live and Microsoft. Mudd earned more than $500,000 in dollars and bitcoins from selling the software to hackers.
Now 20-year-old pleaded guilty and was sentenced, with the judge noting that he came from a “perfectly respectable and caring family”. The judge also admitted that the sentence in the case must have a “real element of deterrent” and refused to suspend the jail term. He pointed out that it was a serious money-making business and Titanium Stresser was doing exactly what Mudd created it to do and sent the defendant to a young offender institution.
Mudd, who lived with his parents, had previously undiagnosed Asperger syndrome and was eager to gain status in the online gaming community than the money. He carried out about 600 of DDoS attacks against 181 IP addresses in 2014 and 2015. The man admitted to security breaches against his college while he was studying computer science. On one occasion, the college hacking affected 70 other schools and colleges, including Cambridge, Essex and East Anglia universities.
It was revealed that there were more than 112,000 registered users of Titanium Stresser who hacked about 666,000 IP addresses worldwide. Mudd created the software in September 2013 using a fake name and address in Manchester. His customers were offered a variety of payment plans, including discounts for bulk purchases, as well as a referral program.
The teenager was arrested in March 2015, when he was in his bedroom at his computer. Mudd refused to unlock the machine before his father intervened. He was expelled from college and now works as a kitchen porter, banned from the Internet for 2 years – this was a form of punishment for any computer-obsessed teenager.
His sentencing comes on the day that alleged hacker Lauri Love was given the go-ahead to challenge his extradition to the United States. American authorities have been fighting for Love, suffering from Asperger syndrome, to face trial on hacking charges. He could face 99 years in prison if he is found guilty. Love is alleged to have stolen huge amounts of data from a wide range of the US agencies, including the Federal Reserve, the US army, Nasa and the FBI.
7 Early Signs of Lung Cancer You Need To Pay Attention
According to a research, almost 40% of patients suffering from cancer were diagnosed when the cancer has evolved in the late 3rd stage, meaning it has already made big progress. This is as it is because lung cancer shows no symptoms and it is hard to notice it in its early stages. Fortunately, there are 7 signs that indicate lung cancer and can help you in diagnosing it before it is too late.
1. Persistent Cough
Pay attention to the way you cough. If the cough is gone after one or two weeks, it means you have caught a regular cough due to a respiratory infection or a cold. However, if you suffer from the same cough even after two weeks it might indicate to lung cancer. If you cough out mucus it is mandatory to visit your doctor and make the relevant tests on your lungs and chest, for example: x-rays. If there are some other changes in your cough, such as: cough with hoarse sound, cough with blood or extreme mucus, then you must not waste anymore time and visit your doctor.
2. Being out of Breath
Shortness of breath is another lung cancer symptom and it is caused because of two possible things: the first is there is probably a fluid accumulated in your chest as a result of a lung tumor; the second is there is narrowing (blockage) of the airways. Therefore, if due to some daily actions you feel shortness of breath, which did not make you feel like it before, such as bringing groceries, climbing up stairs or some other actions, then it is strongly recommended to visit your doctor.
3. Pain in the chest, back or shoulders
Even though pain caused in the above mentioned areas is not often connected with lung cancer, it may be caused as a result of metastasis on the chests, lungs, or enlargement of the lymph nodes or the ribs.
It does not matter if you feel healthy, strong, constant or dull, what matters is that you must visit your doctor in order to make sure what is going on with your health condition.
4. Whistling/Wheezing
If you notice a wheezing or whistling sound while you breathe, pay a visit to your doctor. However, you must not panic because all those sounds appear when airways are constricted or inflamed. The sounds may be a sign of something easily curable. If the sounds are prolonged then you should visit your doctor for sure.
5. Weight Drop
When having lung cancer, you may experience sudden weight drop. This is due to cancer cells using body’s energy that has been obtained from food.
6. Pain in the bones
If you are feeling severe pain in the bones or any other part of your back during any time of the day or night, then you need to pay attention to this serious symptom and consult with a doctor.
7. Continuous headache
If you are constantly feeling headache then you might be dealing with lung cancer that had spread to the brain. However, headache occurrence may not always be linked with metastases in the brain. This headache may be caused because the lung tumor presses the main vein that transfers blood from the upper part to your heart.
How to be able to diagnose lung cancer at early stage?
Since x-rays cannot discover lung cancer on time, there are CT scans (computed tomography) which can help in the process of discovering the sneaky disease on time and reducing the possibility of death when dealing with lung cancer. To sum everything up, you should not wait for any kind of sign to occur in order to go to the doctor, make an x-ray or do a CT scan. Any person between 55 and 80 years of age and the ones who have been active smokers in the last 15 years should make the tests as soon as possible in order to prevent lung cancer.
Source:
healthyfoodstar
4 Common problems of Tanzanian students
Today I'm going to share with you some common problems of Tanzanian students from lower level to higher level.
From the research which I have been doing and observing for few months I have come up with some major problems of Tanzania students in large percent.
These problems contribute a lot in failure of them to be competent even to reach maximum point of their knowledge.
In summary the following is what I have observed:
1. Most of them are in the problem of fear and lack of confidence as soon as they realise there are many people who they don't know their status or level of education.
This may be contributed by inadequate time to study various books or concepts which will give them enough confidence to talk in front of people even if those people are doctors.
2.Tanzanian students in large percent don't know how to utilise well their language especially language of instruction which is English.
It's obvious that for any one to be able to communicate well he or she should have to be competent in particular language to be used.
3. They don't want to learn from great students from other countries.
One among best way to get knowledge is to read from top ones.
4. Inadequate seriousness and concentration to their studies.
Whenever someone do anything he or she needs to concentrate effectively on what is going on unless other wise he won't be able do it in best way.
To end up this article I would like to give some advice to Tanzanian students and all learners inclusively
1.They have to read many books as possible
2.They have to avoid inferiority to anyone, they have to believe they can do and compete.
3.Much concentration to their studies is important
4.Time management during studying hours and pleasure time.
5.Lastly they have to understand that social networks and internet at large are
very important when are used in appropriate ways such as having discussion forums with students world wide
I would like to see your comments on this article
Share it with your collegues
Subscribe to:
Posts (Atom)